2 Chronicles 18:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Makapteni walipotambua kwamba hakuwa mfalme wa Israeli, waliacha kumshambulia, wakarudi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wale majemadari wakaona kwamba hakuwa mfalme wa Israeli nao wakaacha kumfuatilia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa, maakida wa magari walipoona ya kuwa siye mfalme wa Israeli, wakageuka nyuma wasimfuate.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Makapteni walipotambua kwamba hakuwa mfalme wa Israeli, waliacha kumshambulia, wakarudi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wale majemadari wakaona kwamba hakuwa mfalme wa Israeli nao wakaacha kumfuatilia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wale majemadari wakaona kwamba hakuwa mfalme wa Israeli nao wakaacha kumfuatilia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa, makamanda wa magari walipoona ya kuwa siye mfalme wa Israeli, wakageuka nyuma wasimfuate.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Makapteni walipotambua kwamba hakuwa mfalme wa Israeli, waliacha kumshambulia, wakarudi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ikawa, wakuu wa magari walipoona, ya kuwa siye mfalme wa Waisiraeli, wakarudi na kuacha kumfuata.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa, maakida wa magari walipoona ya kuwa siye mfalme wa Israeli, wakageuka nyuma wasimfuate.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakubwa wa waaskari walipotambua kwamba hakukuwa mufalme wa Israeli, wakaacha kumushambulia, wakarudi.