2 Chronicles 20:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nao wamekaa humu, na kukujengea hekalu kwa heshima ya jina lako, wakijua
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wameishi ndani yake na humo wamekujengea mahali patakatifu kwa ajili ya Jina lako, wakisema:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao walikaa humo, wamekujengea patakatifu pa jina lako humo, wakisema,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nao wamekaa humu, na kukujengea hekalu kwa heshima ya jina lako, wakijua
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wameishi ndani yake na humo wamekujengea mahali patakatifu kwa ajili ya Jina lako, wakisema:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wameishi ndani yake na humo wamekujengea mahali patakatifu kwa ajili ya Jina lako, wakisema:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao walikaa humo, wamekujengea patakatifu pa jina lako humo, wakisema,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nao wamekaa humu, na kukujengea hekalu kwa heshima ya jina lako, wakijua
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakakaa huku, wakakujengea huku Patakatifu pa Jina lako kwa kwamba:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao walikaa humo, wamekujengea patakatifu pa jina lako humo, wakisema,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao wamekaa humu, na kukujengea hekalu kwa heshima ya jina lako, wakijua