2 Chronicles 22:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naye alikaa nao kwa muda wa miaka sita akiwa amefichwa ndani ya nyumba ya Mungu wakati Athalia alipokuwa akitawala nchi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alibaki amefichwa pamoja nao katika Hekalu la Mungu kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawako pamoja nao, amefichwa nyumbani mwa Mungu, miaka sita. Na Athalia akaitawala nchi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naye alikaa nao kwa muda wa miaka sita akiwa amefichwa ndani ya nyumba ya Mungu wakati Athalia alipokuwa akitawala nchi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akawa pamoja nao akiwa amefichwa katika Hekalu la Mungu kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alipokuwa anatawala nchi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alibaki amefichwa pamoja nao katika Hekalu la Mungu kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawako pamoja nao, amefichwa nyumbani mwa Mungu, miaka sita. Na Athalia akaitawala nchi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naye alikaa nao kwa muda wa miaka sita akiwa amefichwa ndani ya nyumba ya Mungu wakati Athalia alipokuwa akitawala nchi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akakaa kwao Nyumbani mwa Mungu na kufichwa miaka sita, Atalia alipokuwa mfalme wa kike wa nchi hiyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawako pamoja nao, amefichwa nyumbani mwa Mungu, miaka sita. Na Athalia akaitawala nchi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye akakaa nao kwa muda wa miaka sita akiwa amefichwa ndani ya nyumba ya Mungu wakati Atalia alipokuwa akitawala inchi.