2 Chronicles 22:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hata alifuata shauri lao, akaenda pamoja na mfalme Yehoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Shamu huko Ramoth-gileadi. Nao Washamu walimjeruhi Yoramu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pia akafuata ushauri wao alipoenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akaenda kwa mashauri yao, akafuatana na Yoramu
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hata alifuata shauri lao, akaenda pamoja na mfalme Yehoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Shamu huko Ramoth-gileadi. Nao Washamu walimjeruhi Yoramu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pia akafuata shauri lao alipokwenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pia akafuata shauri lao alipokwenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akaenda kwa mashauri yao, akafuatana na Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli ili kupigana na Hazaeli mfalme wa Shamu huko Ramoth-gileadi; nao Washami wakamjeruhi Yoramu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hata alifuata shauri lao, akaenda pamoja na mfalme Yehoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Shamu huko Ramoth-gileadi. Nao Washamu walimjeruhi Yoramu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kuongozwa nao akaja kwenda na Yoramu, mwana wa Ahabu, mfalme wa Waisiraeli, kumpelekea Hazaeli, mfalme wa Ushami, vita huko Ramoti wa Gileadi. Washami walipomwumiza Yoramu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akaenda kwa mashauri yao, akafuatana na Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli ili kupigana na Hazaeli mfalme wa Shamu huko Ramoth-gileadi; nao Washami wakamjeruhi Yoramu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hata akafuata shauri lao, akaenda pamoja na mufalme Yoramu mwana wa Ahabu mufalme wa Israeli kupigana vita na Hazaeli mufalme wa Suria kule Ramoti-Gileadi. Nao Wasuria wakamwumiza Yoramu.