2 Chronicles 25:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waliteka watu 10,000, wakawapandisha juu ya jabali na kuwatupa chini miambani, wakapondeka vipandevipande.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Jeshi la Yuda pia likawateka watu elfu kumi wakiwa hai, likawapandisha juu ya jabali na kuwatupa chini kwa nguvu, wote wakavunjika vipande vipande.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na elfu kumi wengine, ambao wana wa Yuda waliwachukua wali hai, wakawaleta juu ya jabali, wakawaangusha toka juu ya jabali, hata wakavunjika-vunjika wote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waliteka watu 10,000, wakawapandisha juu ya jabali na kuwatupa chini miambani, wakapondeka vipandevipande.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Jeshi la Yuda pia likawateka watu 10,000 wakiwa hai, likawapandisha juu ya jabali na kuwatupa chini kwa nguvu hata wote wakavunjika vipande vipande.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Jeshi la Yuda pia likawateka watu 10,000 wakiwa hai, likawapandisha juu ya jabali na kuwatupa chini kwa nguvu hata wote wakavunjika vipande vipande.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na elfu kumi wengine, ambao wana wa Yuda waliwachukua wakiwa hai, wakawaleta juu ya jabali, wakawaangusha chini toka juu ya jabali, hadi wakavunjikavunjika wote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waliteka watu 10,000, wakawapandisha juu ya jabali na kuwatupa chini miambani, wakapondeka vipandevipande.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wengine 10000 wana wa Yuda wakawateka, wa hai, wakawapeleka mwambani juu, wakawakumba toka hapo juu mwambani; ndipo, wote pia walipopondeka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na elfu kumi wengine, ambao wana wa Yuda waliwachukua wali hai, wakawaleta juu ya jabali, wakawaangusha toka juu ya jabali, hata wakavunjika-vunjika wote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na wengine watu elfu kumi, wakakamatwa na kuwapandisha juu ya jiwe kubwa na kuwatupa chini toka juu ya jiwe, wakavunjika vipandevipande.