2 Chronicles 28:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hivyo, wanajeshi waliwaacha mateka wao na nyara zote mbele ya wakuu na mkutano wote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo wale askari wakawaacha wale mateka pamoja na nyara mbele ya hao maafisa na kusanyiko lote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi watu wenye silaha wakawaacha wafungwa na nyara mbele ya wakuu na kusanyiko lote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hivyo, wanajeshi waliwaacha mateka wao na nyara zote mbele ya wakuu na mkutano wote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo wale askari wakawaacha wale mateka pamoja na nyara mbele ya hao maafisa na kusanyiko lote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo wale askari wakawaacha wale mateka pamoja na nyara mbele ya hao maafisa na kusanyiko lote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi watu wenye silaha wakawaachilia wafungwa na nyara mbele ya wakuu na kusanyiko lote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hivyo, wanajeshi waliwaacha mateka wao na nyara zote mbele ya wakuu na mkutano wote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, wapiga vita walipoyaacha mateka yao machoni pao wakuu napo pao mkutano wote pamoja na zile mali, walizozinyang'anya;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi watu wenye silaha wakawaacha wafungwa na nyara mbele ya wakuu na kusanyiko lote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hivyo, waaskari wakawaacha wafungwa wao na vitu vyote walivyonyanganya katika mikono ya wakubwa na mukutano wote.