2 Chronicles 28:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tiglath-pileseri, mfalme wa Ashuru alimshambulia badala ya kumtia nguvu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru akaja kumtesa badala ya kumsaidia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Tiglath-pileseri mfalme wa Ashuru akamjia, akamfadhaisha, asimtie nguvu kwa lo lote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tiglath-pileseri, mfalme wa Ashuru alimshambulia badala ya kumtia nguvu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru akaja kumtesa badala ya kumsaidia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru akaja kumtesa badala ya kumsaidia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Tiglath-pileseri mfalme wa Ashuru akamjia, akamfadhaisha, asimtie nguvu kwa lolote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tiglath-pileseri, mfalme wa Ashuru alimshambulia badala ya kumtia nguvu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Tilgati-Pilneseri, mfalme wa Asuri, alipomjia, lakini akamsonga, hakumpatia nguvu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Tiglath-pileseri mfalme wa Ashuru akamjia, akamfadhaisha, asimtie nguvu kwa lo lote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tigilati-Pileseri, mufalme wa Asuria akamushambulia pahali pa kumutia nguvu.