2 Chronicles 31:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme Hezekia aliwauliza makuhani na Walawi kuhusu mafungu hayo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu yale malundo,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo Hezekia akaulizana na makuhani na Walawi katika habari ya hizo chungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme Hezekia aliwauliza makuhani na Walawi kuhusu mafungu hayo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu yale malundo,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu yale malundo,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo Hezekia akauliza makuhani na Walawi kuhusu mafungu hayo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme Hezekia aliwauliza makuhani na Walawi kuhusu mafungu hayo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hizikia alipoulizana na watambikaji na Walawi maana ya hayo machungu,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo Hezekia akaulizana na makuhani na Walawi katika habari ya hizo chungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme Hezekia akawauliza makuhani na Walawi juu ya mafungu hayo.