2 Chronicles 32:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliwaweka watu wote mjini chini ya makamanda, kisha akawaamuru wakusanyike uwanjani penye Lango la Mji. Hapo akawatia moyo akisema,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akaweka maafisa wa jeshi juu ya watu, wakawakutanisha mbele yake katika uwanja kwenye lango la mji, naye akawatia moyo kwa maneno haya:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaweka maakida wa vita juu ya watu, akawakusanya kwake uwandani penye lango la mji, akawafurahisha mioyo; akisema,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliwaweka watu wote mjini chini ya makamanda, kisha akawaamuru wakusanyike uwanjani penye Lango la Mji. Hapo akawatia moyo akisema,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akaweka maafisa wa jeshi juu ya watu, wakawakutanisha mbele yake katika uwanja kwenye lango la mji, naye akawatia moyo kwa maneno haya:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akaweka maafisa wa jeshi juu ya watu, wakawakutanisha mbele yake katika uwanja kwenye lango la mji, naye akawatia moyo kwa maneno haya:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaweka makamanda wa vita juu ya watu, akawakusanya kwake uwandani penye lango la mji, akawatia moyo; akisema,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliwaweka watu wote mjini chini ya makamanda, kisha akawaamuru wakusanyike uwanjani penye Lango la Mji. Hapo akawatia moyo akisema,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao watu akawawekea wakuu wa vita, akawakusanya kwake uwanjani penye lango la mji, akawashikiza mioyo akiwaambia:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaweka maakida wa vita juu ya watu, akawakusanya kwake uwandani penye lango la mji, akawafurahisha mioyo; akisema,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akaweka watu wote wa muji chini ya uongozi wa majemadari, kisha akawaamuru wakusanyike katika uwanja penye Mulango wa Muji. Hapo akawatia moyo akisema: