2 Chronicles 34:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme aliposikia maneno ya sheria alirarua mavazi yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfalme aliposikia yale maneno ya Torati, akayararua mavazi yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa, mfalme alipoyasikia maneno ya torati, aliyararua mavazi yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme aliposikia maneno ya sheria alirarua mavazi yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mfalme aliposikia yale maneno ya Sheria, akayararua mavazi yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mfalme aliposikia yale maneno ya Torati, akayararua mavazi yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa, mfalme alipoyasikia maneno ya torati, aliyararua mavazi yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme aliposikia maneno ya sheria alirarua mavazi yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ikawa, mfalme alipoyasikia maneno ya Maonyo, akayararua mavazi yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa, mfalme alipoyasikia maneno ya torati, aliyararua mavazi yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme aliposikia maneno ya Sheria akapasua nguo yake.