2 Chronicles 34:29 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha mfalme Yosia aliita na kukusanya viongozi wote wa Yuda na Yerusalemu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo mfalme akapeleka wajumbe, akawakusanya wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha mfalme Yosia aliita na kukusanya viongozi wote wa Yuda na Yerusalemu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo mfalme akapeleka wajumbe, akawakusanya wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha mfalme Yosia aliita na kukusanya viongozi wote wa Yuda na Yerusalemu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, mfalme alipotuma wajumbe, akawakusanya wazee wote wa Wayuda na wa Yerusalemu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo mfalme akapeleka wajumbe, akawakusanya wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha mufalme Yosia akaita na kukusanya viongozi wote wa inchi ya Yuda na Yerusalema.