2 Chronicles 34:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aidha, aliiteketeza mifupa ya makuhani wa miungu hiyo kwenye madhabahu zao, hivyo akatakasa Yuda na Yerusalemu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akachoma mifupa ya makuhani wao juu ya madhabahu zao na kwa njia hiyo akaitakasa Yuda na Yerusalemu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaiteketeza mifupa ya makuhani madhabahuni mwao, akasafisha Yuda na Yerusalemu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aidha, aliiteketeza mifupa ya makuhani wa miungu hiyo kwenye madhabahu zao, hivyo akatakasa Yuda na Yerusalemu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akachoma mifupa ya makuhani wao juu ya madhabahu zao na kwa njia hiyo akaitakasa Yuda na Yerusalemu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akachoma mifupa ya makuhani wao juu ya madhabahu zao na kwa njia hiyo akaitakasa Yuda na Yerusalemu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaiteketeza mifupa ya makuhani madhabahuni mwao, akasafisha Yuda na Yerusalemu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aidha, aliiteketeza mifupa ya makuhani wa miungu hiyo kwenye madhabahu zao, hivyo akatakasa Yuda na Yerusalemu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nayo mifupa ya watambikaji wao akaiteketeza juu ya meza zao za kutambikia. Ndivyo, alivyoitakasa nchi ya Yuda na mji wa Yerusalemu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaiteketeza mifupa ya makuhani madhabahuni mwao, akasafisha Yuda na Yerusalemu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akateketeza mifupa ya makuhani wa miungu hiyo kwenye mazabahu zao, hivyo akasafisha inchi ya Yuda na Yerusalema.