2 Chronicles 35:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nao wapiga upinde walimpiga mshale mfalme Yosia; basi ndipo mfalme alipowaambia watumishi wake: “Niondoeni! Nimejeruhiwa vibaya sana.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wapiga upinde wakampiga Mfalme Yosia, naye akawaambia maafisa wake, “Niondoeni, nimejeruhiwa vibaya sana.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao wapiga upinde wakampiga Yosia; naye mfalme akawaambia watumishi wake, Niondoeni; kwani nimejeruhiwa sana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nao wapiga upinde walimpiga mshale mfalme Yosia; basi ndipo mfalme alipowaambia watumishi wake: “Niondoeni! Nimejeruhiwa vibaya sana.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wapiga upinde wakampiga Mfalme Yosia, naye akawaambia maafisa wake, “Niondoeni, nimejeruhiwa vibaya sana.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wapiga upinde wakampiga Mfalme Yosia, naye akawaambia maafisa wake, “Niondoeni, nimejeruhiwa vibaya sana.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao wapiga upinde wakampiga Yosia; naye mfalme akawaambia watumishi wake, Niondoeni; kwa kuwa nimejeruhiwa sana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nao wapiga upinde walimpiga mshale mfalme Yosia; basi ndipo mfalme alipowaambia watumishi wake: “Niondoeni! Nimejeruhiwa vibaya sana.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wenye kupiga mishale wakampiga mfalme Yosia; ndipo, mfalme alipowaambia watumishi wake: Nipitisheni huku! Kwani nimeumia sana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao wapiga upinde wakampiga Yosia; naye mfalme akawaambia watumishi wake, Niondoeni; kwani nimejeruhiwa sana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao wapiga upinde wakamuchoma mufalme Yosia mishale; basi mufalme akawaambia watumishi wake: “Muniondoshe! Nimeumia vibaya sana.”