2 Chronicles 5:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ikawa makuhani walipotoka pale mahali patakatifu, (kwa sababu makuhani wote waliokuwapo bila kujali makundi yao, walikuwa wamejitakasa.),
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi makuhani wakaondoka hapo Mahali Patakatifu. Makuhani wote waliokuwa huko walikuwa wamejiweka wakfu, bila kujali migawanyo yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa makuhani walipokwisha kutoka katika patakatifu; (kwani makuhani wote waliokuwapo, walikuwa wamejitakasa, wala hawakuzishika zamu zao;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ikawa makuhani walipotoka pale mahali patakatifu, (kwa sababu makuhani wote waliokuwapo bila kujali makundi yao, walikuwa wamejitakasa.),
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi makuhani wakaondoka hapo mahali patakatifu. Makuhani wote waliokuwa huko walikuwa wamejiweka wakfu, bila kujali migawanyo yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi makuhani wakaondoka hapo Mahali Patakatifu. Makuhani wote waliokuwa huko walikuwa wamejiweka wakfu, bila kujali migawanyo yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa makuhani walipokwisha kutoka katika patakatifu; (kwani makuhani wote waliokuwapo, walikuwa wamejitakasa, wala hawakuzishika zamu zao;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ikawa makuhani walipotoka pale mahali patakatifu, (kwa sababu makuhani wote waliokuwapo bila kujali makundi yao, walikuwa wamejitakasa.),
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha watambikaji wakatoka Patakatifu; nao hawa watambikaji waliooneka hapo walikuwa wamejitakasa wote pasipo kuziangalia zamu zao,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa makuhani walipokwisha kutoka katika patakatifu; (kwani makuhani wote waliokuwapo, walikuwa wamejitakasa, wala hawakuzishika zamu zao;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha makuhani wakatoka pale Pahali Patakatifu, kwa sababu makuhani wote waliokuwa pale bila kujali makundi yao, walikuwa wamejitakasa.