2 Chronicles 9:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme Solomoni aliwapita wafalme wote duniani kwa mali na kwa hekima.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfalme Sulemani alikuwa mkuu zaidi kwa utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi mfalme Sulemani akawapita wafalme wote wa duniani kwa mali, na kwa hekima.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme Solomoni aliwapita wafalme wote duniani kwa mali na kwa hekima.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mfalme Solomoni alikuwa mkuu zaidi kwa utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mfalme Sulemani alikuwa mkuu zaidi kwa utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi mfalme Sulemani akawapita wafalme wote wa duniani kwa mali, na kwa hekima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme Solomoni aliwapita wafalme wote duniani kwa mali na kwa hekima.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo ndivyo, mfalme Salomo alivyokuwa mkuu kuwapita wafalme wote wa huku nchini kwa utukufu na kwa werevu wa kweli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi mfalme Sulemani akawapita wafalme wote wa duniani kwa mali, na kwa hekima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hivyo basi, mufalme Solomono aliwapita wafalme wote katika dunia kwa mali na kwa hekima.