2 Chronicles 9:28 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Solomoni aliletewa farasi walionunuliwa kutoka Misri na nchi nyinginezo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri na kutoka nchi nyingine zote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakamletea Sulemani farasi kutoka Misri, na kutoka nchi zote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Solomoni aliletewa farasi walionunuliwa kutoka Misri na nchi nyinginezo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka nchi nyingine zote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri na kutoka nchi nyingine zote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakamletea Sulemani farasi kutoka Misri, na kutoka nchi zote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Solomoni aliletewa farasi walionunuliwa kutoka Misri na nchi nyinginezo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakamletea Salomo farasi, waliowatoa Misri na katika nchi zote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakamletea Sulemani farasi kutoka Misri, na kutoka nchi zote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Solomono aliletewa farasi walionunuliwa kutoka Misri na katika inchi zingine.