2 Corinthians 10:3 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Tunaishi katika ulimwengu huu, lakini hatupigani vita yetu kama ulimwengu unavyopigana.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ingawa tunaishi duniani lakini hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ingawa tunaishi duniani, hatupigani vita kama ulimwengu ufanyavyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani hata tunapoendelea katika miili hatujigombei, kama miili itakavyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana ijapokuwa tunaishi katika dunia, lakini hatufanyi vita kwa namna ya kimwili.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili;