2 Corinthians 11:19 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nyinyi ni wenye busara, ndiyo maana hata mnawavumilia wapumbavu!
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ninyi mwachukuliana na wajinga kwa sababu mna hekima sana!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ninyi, kwa kuwa mna akili, mnachukuliana na wajinga kwa furaha.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mna busara, hivyo mtamvumilia kwa furaha mjinga!
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ninyi ni wenye busara, ndiyo maana hata mnawavumilia wapumbavu!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nyinyi ni wenye busara, ndiyo maana hata mnawavumilia wapumbavu!
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ninyi mwachukuliana na wajinga kwa sababu mna hekima sana!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ninyi mwachukuliana na wajinga kwa sababu mna hekima sana!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ninyi, kwa kuwa mna akili, mnachukuliana na wajinga kwa furaha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nyinyi ni wenye busara, ndiyo maana hata mnawavumilia wapumbavu!
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani ninyi mlio wenye akili hupenda kuwavumilia wapuzi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ninyi, kwa kuwa mna akili, mnachukuliana na wajinga kwa furaha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninyi munajidai kuwa wenye hekima na ndiyo maana munapenda kuwavumilia wapumbafu!
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ninyi, kwa kuwa mna akili, mnavumilia na wajinga kwa furaha.