2 Corinthians 12:4 — Compare Translations
13 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huko akasikia mambo ya siri ambayo binadamu hastahili kuyatamka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
alinyakuliwa hadi Paradiso. Huko alisikia mambo yasiyoelezeka, mambo ambayo binadamu hana ruhusa ya kuyasimulia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ya kuwa alinyakuliwa mpaka Peponi, akasikia maneno yasiyotamkika, ambayo haijuzu mwanadamu ayanene.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Huko akasikia mambo ya siri ambayo binadamu hastahili kuyatamka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huko akasikia mambo ya siri ambayo binadamu hastahili kuyatamka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
alinyakuliwa hadi Paradiso. Huko alisikia mambo yasiyoelezeka, mambo ambayo binadamu hana ruhusa ya kuyasimulia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
alinyakuliwa hadi Paradiso. Huko alisikia mambo yasiyoelezeka, mambo ambayo binadamu hana ruhusa ya kuyasimulia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ya kuwa alinyakuliwa mpaka Peponi, akasikia maneno yasiyotamkika, ambayo haistahili mwanadamu ayaseme.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huko akasikia mambo ya siri ambayo binadamu hastahili kuyatamka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye alipokonywa kupelekwa Paradiso, akasikia maneno yasiyosemeka, yasiyowezekana kusemwa na mtu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ya kuwa alinyakuliwa mpaka Peponi, akasikia maneno yasiyotamkika, ambayo haijuzu mwanadamu ayanene.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Katika Paradizo, mutu yule akasikia mambo ya ajabu na yasiyoruhusiwa kwa mwanadamu kuyaeleza.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
ya kuwa alichukuliwa mpaka Peponi, akasikia maneno yasiyotamkika, ambayo haijuzu mwana Adamu ayanene.