2 Corinthians 2:6 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Adhabu aliyokwisha pata kutoka kwa wengi wenu inamtosha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Adhabu hii aliyopewa na wengi inamtosha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yamtosha mtu wa namna hii adhabu ile aliyopewa na walio wengi;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Adhabu ambayo walio wengi miongoni mwa kusanyiko lenu walimpa inatosha.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Adhabu aliyokwisha pata kutoka kwa wengi wenu inamtosha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Adhabu aliyokwisha pata kutoka kwa wengi wenu inamtosha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Adhabu hii aliyopewa na wengi inamtosha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Adhabu hii aliyopewa na wengi inamtosha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yamtosha mtu wa namna hii adhabu ile aliyopewa na walio wengi;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Adhabu aliyokwisha pata kutoka kwa wengi wenu inamtosha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aliye hivyo inamtosha, akionywa hivyo na wenzake walio wengi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yamtosha mtu wa namna hii adhabu ile aliyopewa na walio wengi;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Azabu mutu yule aliyopewa na watu wengi kati yenu inatosha kwake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yamtosha mtu wa jinsi hii adhabu ile aliyopewa na walio wengi;