2 Corinthians 3:12 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo, kwa kuwa tunalo tumaini hili, tuna ujasiri sana.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, kwa kuwa mna taraja la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa sababu tuna tumaini hili tunatenda kwa ujasiri mkubwa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo, kwa kuwa tunalo tumaini hili, tuna ujasiri sana.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo, kwa kuwa tunalo tumaini hili, tuna ujasiri sana.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, kwa kuwa mna tumaini la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Kwa kuwa wenye kingojeo kama hiki sisi hutumia mioyo isiyojua woga kamwe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, kwa kuwa mna taraja la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na kwa sababu tunakuwa na tumaini lile, sisi tunasema kwa uhodari.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi, kwa kuwa tuna taraja la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;