2 Corinthians 3:17 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapa “Bwana” ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo uhuru.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi Bwana Isa ndiye Roho. Mahali alipo Roho wa Bwana Mungu Mwenyezi, hapo pana uhuru.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi <Bwana> ndiye Roho; walakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Katika maandiko hayo Bwana ni Roho, na palipo na Roho wa Bwana, pana uhuru.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hapa “Bwana” ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo uhuru.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapa “Bwana” ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo uhuru.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi Bwana ndiye Roho. Mahali alipo Roho wa Bwana hapo pana uhuru.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi Bwana Isa ndiye Roho. Mahali alipo Roho wa Mwenyezi Mungu, hapo pana uhuru.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi “Bwana” ndiye Roho; lakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapa “Bwana” ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo uhuru.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Bwana ndiye Roho; napo, Roho ya Bwana ilipo, ndipo, vyote vinapofunguliwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi “Bwana” ndiye Roho; walakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hapa “Bwana” ni Roho; na pahali Roho wa Bwana anapokaa, pale kuna uhuru.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi Bwana ndiye Roho huyo; walakini alipo Roho ya Bwana, hapo ndipo panapo uhuru.