2 Corinthians 3:4 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za Mungu kupitia kwa Al-Masihi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na tumaini hilo tunalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Tunaweza kusema hili, kwa sababu Kristo ndiye anayetupa uhakika huu mbele za Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za Mungu kwa njia ya Al-Masihi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na tumaini hilo tunalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Lakini Kristo ndiye aliyetupa shikizo kama hili kwake Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na tumaini hilo tunalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tunasema neno hili kwa ajili ya tumaini tunalokuwa nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na tumaini hiio tunalo mbele za Mungu kwa Kristo;