2 Corinthians 6:15 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Mwaamini ana uhusiano gani na asiyeamini?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kuna mapatano gani kati ya Al-Masihi na Beliari? Yeye aaminiye ana sehemu gani na yeye asiyeamini?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Itawezekanaje kuwe na mapatano kati ya Kristo na beliali? Je, mwamini anashirika gani na asiye amini?
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Muumini ana uhusiano gani na asiyeamini?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Mwaamini ana uhusiano gani na asiyeamini?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kuna mapatano gani kati ya Kristo na Beliari? Yeye aaminiye ana sehemu gani na yeye asiyeamini?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kuna mapatano gani kati ya Al-Masihi na Beliari? Yeye aaminiye ana sehemu gani na yeye asiyeamini?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Mwaamini ana uhusiano gani na asiyeamini?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yako mapatano ya Kristo na ya Beliali? Au liko fungu lililo lake amtegemeaye Mungu nalo lake asiyemtegemea Mungu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuna masikilizano gani kati ya Kristo na Shetani? Au mutu anayeamini yuko na ushirika gani na mutu asiyeamini?
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Belial? Au aammiye ana sehemu gani pamoja na asiyeamini? Tena pana mapatano gani ya hekalu ya Mungu na sanama?