2 Corinthians 8:1 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndugu, tunapenda kuwapa habari juu ya neema ambazo Mungu ameyajalia makanisa ya Makedonia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi sasa ndugu, nataka ninyi mjue kuhusu ile neema ambayo Mungu amewapa waumini wa Makedonia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena ndugu zetu, twawaarifu habari ya neema ya Mungu, waliyopewa makanisa ya Makedonia;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na sasa, kaka na Dada zetu, tunataka kuwaambia kile ambacho neema ya Mungu imefanya katika makanisa ya makedonia.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ndugu, tunapenda kuwapa habari juu ya neema ambazo Mungu ameyajalia makanisa ya Makedonia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndugu, tunapenda kuwapa habari juu ya neema ambazo Mungu ameyajalia makanisa ya Makedonia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi sasa ndugu, nataka ninyi mjue kuhusu ile neema ambayo Mungu amewapa makanisa ya Makedonia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi sasa ndugu, nataka ninyi mjue kuhusu ile neema ambayo Mungu amewapa waumini wa Makedonia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena ndugu zetu, twawaarifu habari ya neema ya Mungu, waliyopewa makanisa ya Makedonia;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndugu, tunapenda kuwapa habari juu ya neema ambazo Mungu ameyajalia makanisa ya Makedonia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndugu, twawatambulisha kipaji cha Mungu, wateule wa Makedonia walichogawiwa:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena ndugu zetu, twawaarifu habari ya neema ya Mungu, waliyopewa makanisa ya Makedonia;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wandugu, tunapenda kuwajulisha namna Mungu alivyojalia neema makanisa ya Makedonia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
TENA twawaarifu ninyi, ndugu, kliahari ya neema ya Mungu, waliyopewa makanisa ya Makedonia;