2 Corinthians 8:15 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama Maandiko yasemavyo: “Aliyekusanya kwa wingi hakuwa na ziada, na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo patakuwa na usawa, kama ilivyoandikwa: “Aliyekusanya zaidi hakuwa na ziada, wala aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kama ilivyoandikwa, Aliyekusanya vingi, hakuzidi, wala yeye aliyekusanya vichache hakupungukiwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kama Maandiko yanavyosema, “Wale waliokusanya vingi hawakuwa na vingi zaidi, na wale waliokusanya kidogo hawakuwa na vichache zaidi.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kama Maandiko yasemavyo: “Aliyekusanya kwa wingi hakuwa na ziada, na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama Maandiko yasemavyo: “Aliyekusanya kwa wingi hakuwa na ziada, na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo patakuwa na usawa, kama maandiko yanavyosema: “Aliyekusanya kwa wingi, hakubakiza kitu, wala aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo patakuwa na usawa, kama ilivyoandikwa: “Aliyekusanya zaidi hakuwa na ziada, wala aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kama ilivyoandikwa, Aliyekusanya vingi, hakuzidi, wala yeye aliyekusanya vichache hakupungukiwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama Maandiko yasemavyo: “Aliyekusanya kwa wingi hakuwa na ziada, na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kama ilivyoandikwa kwamba: Aliyeokota nyingi hakufurikiwa; wala aliyeokota chache hakupungukiwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kama ilivyoandikwa, Aliyekusanya vingi, hakuzidi, wala yeye aliyekusanya vichache hakupungukiwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kama vile Maandiko Matakatifu yanavyosema: “Yule aliyeokota kingi hakukuwa na cha zaidi, na aliyeokota kidogo, hakupungukiwa.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kama ilivyoandikwa, Aliyekusanya vingi, hakuzidi, nae aliyekusanya vichache hakupungukiwa.