2 Corinthians 8:17 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Si tu kwamba alikubali ombi letu, ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe kuja kwenu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Si kwamba Tito amekubali tu ombi letu, bali anakuja kwenu akiwa na shauku kuliko wakati mwingine, tena kwa hiari yake mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana aliyapokea kweli yale maonyo; tena, huku akizidi kuwa na bidii, alisafiri kwenda kwenu kwa hiari yake mwenyewe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Tito alikubali kufanya vile tulivyomwomba. Yeye mwenyewe alitamani sana kuja kwenu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Si tu kwamba alikubali ombi letu, ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe kuja kwenu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Si tu kwamba alikubali ombi letu, ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe kuja kwenu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Si kwamba Tito amekubali tu ombi letu, bali anakuja kwenu akiwa na shauku kuliko wakati mwingine, tena kwa hiari yake mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Si kwamba Tito amekubali tu ombi letu, bali anakuja kwenu akiwa na shauku kuliko wakati mwingine, tena kwa hiari yake mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana aliyapokea kweli yale maonyo; tena, huku akizidi kuwa na bidii, alisafiri kwenda kwenu kwa hiari yake mwenyewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Si tu kwamba alikubali ombi letu, ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe kuja kwenu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani tulipombembeleza, akaitikia. Lakini kwa hivyo, alivyokaza kujihimiza, aliondoka kwenda kwenu kwa mapenzi yake mwenyewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana aliyapokea kweli yale maonyo; tena, huku akizidi kuwa na bidii, alisafiri kwenda kwenu kwa hiari yake mwenyewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Amekubali ombi letu, na zaidi ya ile ameondoka kuja huko kwenu kwa bidii yake kubwa na kutokana na mapenzi yake mwenyewe.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana alipokea yale maonyo; nae, akizidi kuwa na bidii, alisafiri kwenda kwenu kwa khiari yake mwenyewe.