2 John 1:11 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeyote amkaribishaye mtu kama huyo anashiriki katika matendo yake maovu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana yeye ampaye salamu azishiriki kazi zake mbovu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kama mkiwakaribisha na kuwasalimu, mnawasaidia katika kazi zao za uovu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ye yote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana yeye ampaye salamu azishiriki kazi zake mbovu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mwenye kumsalimia huwa mwenziwe wa kazi zake mbaya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana yeye ampaye salamu azishiriki kazi zake mbovu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
maana mwenye kumusalimia anashirikiana naye katika matendo yake mabaya.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana ampae salamu azishirika kazi zake mbovu.