2 Kings 15:37 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakati wa enzi ya Yothamu, Mwenyezi-Mungu alianza kutuma mfalme Resini wa Aramu na mfalme Peka wa Israeli ili kushambulia Yuda.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
(Katika siku hizo, Mwenyezi Mungu akaanza kuwatuma Resini mfalme wa Aramu na Peka mwana wa Remalia dhidi ya Yuda.)
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Zamani hizo akaanza Bwana kumtuma juu ya Yuda Resini mfalme wa Shamu, na Peka mwana wa Remalia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakati wa enzi ya Yothamu, Mwenyezi-Mungu alianza kutuma mfalme Resini wa Aramu na mfalme Peka wa Israeli ili kushambulia Yuda.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
(Katika siku hizo BWANA akaanza kuwatuma Resini mfalme wa Aramu na Peka mwana wa Remalia dhidi ya Yuda.)
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
(Katika siku hizo, bwana akaanza kuwatuma Resini mfalme wa Aramu na Peka mwana wa Remalia dhidi ya Yuda.)
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Zamani hizo akaanza BWANA kumtuma juu ya Yuda Resini mfalme wa Shamu, na Peka mwana wa Remalia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakati wa enzi ya Yothamu, Mwenyezi-Mungu alianza kutuma mfalme Resini wa Aramu na mfalme Peka wa Israeli ili kushambulia Yuda.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku zile Bwana akaanza kumtuma Resini, mfalme wa Ushami, na Peka, mwana wa Remalia, waijie nchi ya Yuda.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Zamani hizo akaanza BWANA kumtuma juu ya Yuda Resini mfalme wa Shamu, na Peka mwana wa Remalia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati wa utawala wa Yotamu, Yawe akaanza kutuma mufalme Resini wa Aramu na mufalme Peka wa Israeli kwa kushambulia inchi ya Yuda.