2 Kings 16:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Uria akajenga madhabahu hiyo kulingana na mfano huo na kuimaliza kabla ya Ahazi kurejea nyumbani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo Uria kuhani akajenga madhabahu kulingana na mipango yote ambayo Mfalme Ahazi alikuwa ameituma kutoka Dameski, na akamaliza ujenzi kabla ya Mfalme Ahazi kurudi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Uria kuhani akajenga madhabahu; sawasawa na yote aliyomletea mfalme Ahazi kutoka Dameski; ndivyo alivyoifanya Uria kuhani iwe tayari atakaporudi mfalme Ahazi kutoka Dameski.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Uria akajenga madhabahu hiyo kulingana na mfano huo na kuimaliza kabla ya Ahazi kurejea nyumbani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo Uria kuhani akajenga madhabahu kulingana na mipango yote ambayo Mfalme Ahazi alikuwa ameituma kutoka Dameski na kumaliza ujenzi kabla ya kurudi Mfalme Ahazi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo Uria kuhani akajenga madhabahu kulingana na mipango yote ambayo Mfalme Ahazi alikuwa ameituma kutoka Dameski, na akamaliza ujenzi kabla ya Mfalme Ahazi kurudi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Uria kuhani akajenga madhabahu; sawasawa na yote aliyomletea mfalme Ahazi kutoka Dameski; ndivyo alivyoifanya Uria kuhani iwe tayari atakaporudi mfalme Ahazi kutoka Dameski.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Uria akajenga madhabahu hiyo kulingana na mfano huo na kuimaliza kabla ya Ahazi kurejea nyumbani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, mtambikaji Uria alipojenga kutambikia, pote pawe sawa na ule mfano, mfalme Ahazi alioutuma toka Damasko; ndivyo, mtambikaji Uria alivyovifanya, mfalme Ahazi alipokuwa hajarudi bado toka Damasko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Uria kuhani akajenga madhabahu; sawasawa na yote aliyomletea mfalme Ahazi kutoka Dameski; ndivyo alivyoifanya Uria kuhani iwe tayari atakaporudi mfalme Ahazi kutoka Dameski.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Uria akajenga mazabahu ile kulingana na mufano ule na kuimaliza mbele ya kurudi kwa Ahazi.