2 Kings 16:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu na hazina iliyokuwa katika nyumba ya mfalme na kumpelekea kama zawadi mfalme wa Ashuru.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye Ahazi akachukua fedha na dhahabu zilizopatikana ndani ya Hekalu la Mwenyezi Mungu na katika hazina ya jumba la mfalme, na kuzituma kama zawadi kwa mfalme wa Ashuru.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ahazi akatwaa fedha na dhahabu iliyoonekana katika nyumba ya Bwana, na katika hazina za nyumba ya mfalme, akazipeleka kwa mfalme wa Ashuru kuwa zawadi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu na hazina iliyokuwa katika nyumba ya mfalme na kumpelekea kama zawadi mfalme wa Ashuru.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye Ahazi akachukua fedha na dhahabu zilizopatikana ndani ya Hekalu la BWANA na katika hazina ya jumba la kifalme na kuzituma kama zawadi kwa mfalme wa Ashuru.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye Ahazi akachukua fedha na dhahabu zilizopatikana ndani ya Hekalu la bwana na katika hazina ya jumba la mfalme, na kuzituma kama zawadi kwa mfalme wa Ashuru.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ahazi akatwaa fedha na dhahabu iliyoonekana katika nyumba ya BWANA, na katika hazina za nyumba ya mfalme, akazipeleka kwa mfalme wa Ashuru kuwa zawadi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ahazi akachukua fedha na dhahabu iliyokuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu na hazina iliyokuwa katika nyumba ya mfalme na kumpelekea kama zawadi mfalme wa Ashuru.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ahazi akazichukua fedha na dhahabu zilizopatikana Nyumbani mwa Bwana namo katika vilimbiko vya nyumbani mwa mfalme, akazituma kwa mfalme wa Asuri kuwa matunzo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ahazi akatwaa fedha na dhahabu iliyoonekana katika nyumba ya BWANA, na katika hazina za nyumba ya mfalme, akazipeleka kwa mfalme wa Ashuru kuwa zawadi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ahazi akatwaa feza na zahabu iliyokuwa katika nyumba ya Yawe na hazina iliyokuwa katika nyumba ya mufalme na kumupelekea kama zawadi mufalme wa Asuria.