2 Kings 17:37 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakati wote mtatii masharti, maongozi, sheria na amri ambazo niliandika kwa ajili yenu, siku zote mtakuwa waangalifu kuzitenda. Msiiabudu miungu mingine,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Imewapasa daima kuwa waangalifu kutunza hukumu na maagizo, sheria na amri alizowaandikia. Msiabudu miungu mingine.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na sheria, na hukumu, na torati, na amri, alizowaandikia, hizo ndizo mtakazozishika na kuzifanya hata milele; wala msiche miungu mingine.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakati wote mtatii masharti, maongozi, sheria na amri ambazo niliandika kwa ajili yenu, siku zote mtakuwa waangalifu kuzitenda. Msiiabudu miungu mingine,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Imewapasa daima kuwa waangalifu kutunza hukumu na maagizo, sheria na amri alizowaandikia. Msiabudu miungu mingine.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Imewapasa daima kuwa waangalifu kutunza hukumu na maagizo, sheria na amri alizowaandikia. Msiabudu miungu mingine.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na sheria, na hukumu, na torati, na amri, alizowaandikia, hizo ndizo mtakazozishika na kuzifanya hata milele; wala msiche miungu mingine.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakati wote mtatii masharti, maongozi, sheria na amri ambazo niliandika kwa ajili yenu, siku zote mtakuwa waangalifu kuzitenda. Msiiabudu miungu mingine,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nayo maongozi na maamuzi na Maonyo na maagizo, aliyowaandikia ninyi, sharti myaangalie, myafanye siku zote! Msiche kabisa miungu mingine!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na sheria, na hukumu, na torati, na amri, alizowaandikia, hizo ndizo mtakazozishika na kuzifanya hata milele; wala msiche miungu mingine.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati wote mutatii masharti, maagizo, sheria na amri ambazo niliandika kwa ajili yenu, siku zote mutakuwa waangalifu kwa kuzitenda. Musiiabudu miungu mingine,