2 Kings 17:38 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
wala msisahau agano nililofanya nanyi; msiiabudu miungu mingine, bali
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Msisahau agano nililofanya nanyi, wala msiabudu miungu mingine.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na hilo agano nililofanya nanyi, msilisahau; wala msiche miungu mingine;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
wala msisahau agano nililofanya nanyi; msiiabudu miungu mingine, bali
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Msisahau Agano nililofanya nanyi, wala msiabudu miungu mingine.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Msisahau agano nililofanya nanyi, wala msiabudu miungu mingine.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na hilo agano nililofanya nanyi, msilisahau; wala msiche miungu mingine;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
wala msisahau agano nililofanya nanyi; msiiabudu miungu mingine, bali
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wala msilisahau Agano, nililolifanya nanyi, wala msiche miungu mingine!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na hilo agano nililofanya nanyi, msilisahau; wala msiche miungu mingine;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
wala musisahau agano nililofanya nanyi, musiiabudu miungu mingine, lakini