2 Kings 22:1 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala huko Yerusalemu, akatawala kwa miaka thelathini na mmoja. Mama yake alikuwa Yedida, binti Adaya, mkazi wa mji wa Boskathi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yosia alikuwa na umri wa miaka nane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka thelathini na moja. Mama yake aliitwa Yedida binti Adaya, kutoka Boskathi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Yedida, binti Adaya wa Bozkathi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala huko Yerusalemu, akatawala kwa miaka thelathini na mmoja. Mama yake alikuwa Yedida, binti Adaya, mkazi wa mji wa Boskathi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yosia alikuwa na miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu miaka thelathini na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Yedida binti Adaya, kutoka Boskathi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yosia alikuwa na miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka thelathini na mmoja. Mama yake aliitwa Yedida binti Adaya, kutoka Boskathi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Yedida, binti Adaya wa Bozkathi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala huko Yerusalemu, akatawala kwa miaka thelathini na mmoja. Mama yake alikuwa Yedida, binti Adaya, mkazi wa mji wa Boskathi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yosia alikuwa mwenye miaka 8 alipoupata ufalme, akawa mfalme miaka 31 mle Yerusalemu; jina la mama yake ni Yedida, binti Adaya, wa Boskati.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; akatawala miaka thelathini na mmoja katika Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Yedida, binti Adaya wa Bozkathi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yosia alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala akiwa kule Yerusalema na utawala wake ulidumu kwa miaka makumi tatu na mumoja. Mama yake aliitwa Yedida, binti wa Adaya mukaaji wa muji wa Bozikati.