2 Kings 22:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme aliposikia maneno ya Kitabu cha Sheria, alirarua mavazi yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfalme aliposikia maneno ya kile Kitabu cha Torati, akararua mavazi yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa, mfalme alipokwisha kuyasikia maneno ya kitabu hicho cha torati, alirarua nguo zake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme aliposikia maneno ya Kitabu cha Sheria, alirarua mavazi yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mfalme aliposikia maneno ya kile kitabu cha Torati, akararua majoho yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mfalme aliposikia maneno ya kile Kitabu cha Torati, akararua mavazi yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa, mfalme alipokwisha kuyasikia maneno ya kitabu hicho cha torati, alirarua nguo zake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme aliposikia maneno ya Kitabu cha Sheria, alirarua mavazi yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ikawa, mfalme alipoyasikia maneno ya kitabu cha maonyo, akazirarua nguo zake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa, mfalme alipokwisha kuyasikia maneno ya kitabu hicho cha torati, alirarua nguo zake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme aliposikia maneno ya Kitabu cha Sheria, akapasua nguo zake.