2 Kings 23:1 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha mfalme alituma wajumbe, nao wakamkusanyia viongozi wote wa Yuda na wa Yerusalemu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kisha, mfalme akatuma wajumbe, nao wakamkusanyia wazee wote wa Yuda na wa Yerusalemu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha mfalme alituma wajumbe, nao wakamkusanyia viongozi wote wa Yuda na wa Yerusalemu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kisha, mfalme akatuma wajumbe, nao wakamkusanyia wazee wote wa Yuda na wa Yerusalemu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha mfalme alituma wajumbe, nao wakamkusanyia viongozi wote wa Yuda na wa Yerusalemu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, mfalme alipotuma wajumbe, wakusanye kwake wazee wote wa Wayuda na wa Yerusalemu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kisha, mfalme akatuma wajumbe, nao wakamkusanyia wazee wote wa Yuda na wa Yerusalemu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha mufalme akatuma wajumbe, nao wakamukusanyia viongozi wote wa Yuda na wa Yerusalema.