2 Kings 23:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Katika kila mji wa Samaria mfalme Yosia aliharibu mahali pa kuabudia miungu ya uongo palipojengwa na wafalme wa Israeli, ili kumkashifu Mwenyezi-Mungu. Madhabahu hayo yote aliyaharibu kama vile alivyofanya huko Betheli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kama alivyokuwa amefanya huko Betheli, Yosia akabomoa nyumba za ibada katika mahali pa juu pa kuabudia, ambazo wafalme wa Israeli walikuwa wamejenga ndani ya miji ya Samaria, na ambazo zilikuwa zimemghadhibisha Mwenyezi Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na nyumba zote pia za mahali pa juu palipokuwa katika miji ya Samaria, wafalme wa Israeli walizozifanya, ili kumkasirisha Bwana, Yosia aliziondoa, akazitenda kwa mfano wa mambo yote aliyoyatenda katika Betheli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Katika kila mji wa Samaria mfalme Yosia aliharibu mahali pa kuabudia miungu ya uongo palipojengwa na wafalme wa Israeli, ili kumkashifu Mwenyezi-Mungu. Madhabahu hayo yote aliyaharibu kama vile alivyofanya huko Betheli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kama alivyokuwa amefanya huko Betheli, Yosia akabomoa na kuharibu kabisa mahali pa kuabudia miungu kwenye mahali pa juu ambapo wafalme wa Israeli walikuwa wamejenga ndani ya miji ya Samaria ambayo ilikuwa imemghadhibisha BWANA, pasifae tena kwa ibada.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kama alivyokuwa amefanya huko Betheli, Yosia akabomoa na kunajisi mahali pa kuabudia miungu kwenye mahali pa juu ambapo wafalme wa Israeli walikuwa wamejenga ndani ya miji ya Samaria, ambayo ilikuwa imemghadhibisha bwana.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na nyumba zote pia za mahali pa juu palipokuwa katika miji ya Samaria, wafalme wa Israeli walizozifanya, ili kumkasirisha BWANA, Yosia aliziondoa, akazitenda kwa mfano wa mambo yote aliyoyatenda katika Betheli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Katika kila mji wa Samaria mfalme Yosia aliharibu mahali pa kuabudia miungu ya uongo palipojengwa na wafalme wa Israeli, ili kumkashifu Mwenyezi-Mungu. Madhabahu hayo yote aliyaharibu kama vile alivyofanya huko Betheli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nazo nyumba zote zilizojengwa za kutambikia vilimani kwenye miji ya Samaria, wafalme wa Waisiraeli walizozijenga, wamkasirishe Bwana, Yosia akaziondoa, nazo akazifanyizia mambo kama yale yote, aliyoyafanya huko Beteli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na nyumba zote pia za mahali pa juu palipokuwa katika miji ya Samaria, wafalme wa Israeli walizozifanya, ili kumkasirisha BWANA, Yosia aliziondoa, akazitenda kwa mfano wa mambo yote aliyoyatenda katika Betheli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Katika kila muji wa Samaria mufalme Yosia aliharibu pahali pa kuabudia miungu ya uongo palipojengwa na wafalme wa Israeli, kwa kumutukana Yawe. Mazabahu hayo yote aliyaharibu kama vile alivyofanya kule Beteli.