2 Kings 25:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alipatiwa na mfalme mahitaji yake siku kwa siku, maisha yake yote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Siku kwa siku mfalme alimpa Yehoyakini posho siku zote za maisha yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na kwa posho yake, alipewa posho ya daima na mfalme, siku kwa siku sehemu, siku zote za maisha yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alipatiwa na mfalme mahitaji yake siku kwa siku, maisha yake yote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pia siku kwa siku, mfalme akampa Yehoyakini mahitaji yake siku zote za maisha yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Siku kwa siku mfalme alimpa Yehoyakini posho siku zote za maisha yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na kwa posho yake, alipewa posho ya daima na mfalme, siku kwa siku sehemu, siku zote za maisha yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alipatiwa na mfalme mahitaji yake siku kwa siku, maisha yake yote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nazo mali za kujitunza kila siku akapewa na mfalme wa Babeli, siku kwa siku akapata yaliyompasa siku zote, alizokuwapo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kwa posho yake, alipewa posho ya daima na mfalme, siku kwa siku sehemu, siku zote za maisha yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alipatiwa na mufalme posho yake siku kwa siku, kwa muda wa maisha yake yote kufuatana na mahitaji yake.