2 Kings 3:5 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Ahabu alipofariki, mfalme wa Moabu alimwasi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini baada ya Ahabu kufa, mfalme wa Moabu aliasi dhidi ya mfalme wa Israeli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini ikawa, Ahabu alipokufa, mfalme wa Moabu akamwasi mfalme wa Israeli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Ahabu alipofariki, mfalme wa Moabu alimwasi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini baada ya Ahabu kufa, mfalme wa Moabu aliasi dhidi ya mfalme wa Israeli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini baada ya Ahabu kufa, mfalme wa Moabu aliasi dhidi ya mfalme wa Israeli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini ikawa, Ahabu alipokufa, mfalme wa Moabu akamwasi mfalme wa Israeli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Ahabu alipofariki, mfalme wa Moabu alimwasi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini Ahabu alipokufa, mfalme wa Wamoabu akamvunjia mfalme wa Waisiraeli hayo maagano.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini ikawa, Ahabu alipokufa, mfalme wa Moabu akamwasi mfalme wa Israeli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Ahabu alipokufa, mufalme wa Moabu alimwasi.