2 Kings 9:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yehu akaangalia juu na kusema “Ni nani aliye upande wangu?” Maofisa wawili au watatu wakatokeza vichwa vyao kumwangalia kutoka dirishani,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yehu akaangalia juu dirishani na kuita, “Je, ni nani aliye upande wangu? Ni nani?” Matowashi wawili au watatu wakamtazama.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akainua uso wake kulielekea dirisha, akasema, Aliye upande wangu ni nani? Matowashi wawili watatu wakachungulia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yehu akaangalia juu na kusema “Ni nani aliye upande wangu?” Maofisa wawili au watatu wakatokeza vichwa vyao kumwangalia kutoka dirishani,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yehu akaangalia juu dirishani na kuita, “Je, ni nani aliye upande wangu? Ni nani?” Matowashi wawili au watatu wakamtazama.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yehu akaangalia juu dirishani na kuita, “Je, ni nani aliye upande wangu? Ni nani?” Matowashi wawili au watatu wakamtazama.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akainua uso wake kulielekea dirisha, akasema, Aliye upande wangu ni nani? Matowashi wawili watatu wakachungulia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yehu akaangalia juu na kusema “Ni nani aliye upande wangu?” Maofisa wawili au watatu wakatokeza vichwa vyao kumwangalia kutoka dirishani,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, alipouelekeza uso wake kwenye lile dirisha na kuuliza: Yuko nani aliye upande wangu? Alipowaona watumishi wa nyumbani wawili au watatu, wakimchungulia,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akainua uso wake kulielekea dirisha, akasema, Aliye upande wangu ni nani? Matowashi wawili watatu wakachungulia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yehu akaangalia juu na kusema: “Ni nani anayekuwa upande wangu?” Wakubwa wawili au watatu wakatokeza vichwa vyao kwa kumwangalia kutoka kwenye dirisha,