2 Peter 3:6 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ulimwengu wa wakati ule uligharikishwa kwa hayo maji na kuangamizwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa hayo dunia ile ya wakati ule iligharikishwa na maji, ikaangamia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha ulimwengu uliangamizwa kwa maji wakati wa gharika.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ulimwengu wa wakati ule uligharikishwa na kuangamia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ulimwengu wa wakati ule uligharikishwa kwa hayo maji na kuangamizwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa hayo dunia ile ya wakati ule iligharikishwa na maji, ikaangamia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha ule ulimwengu wa kale uliangamia, ulipofurikiwa na maji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa hayo dunia ile ya wakati ule iligharikishwa na maji, ikaangamia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vilevile kufuatana na ile, dunia ya zamani iliangamizwa kwa mafuriko ya maji.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa hayo dunia ile ya wakati ule iligharikishwa na maji, ikaangamia.