2 Samuel 1:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha, Daudi akamwita mmoja wa vijana wake akamwambia, “Muue mtu huyu!” Yule kijana alimpiga yule Mmaleki, naye akafa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha Daudi akamwita mmoja wa watu wake na kumwambia, “Nenda ukamuue!” Kwa hiyo akampiga, naye akafa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo Daudi akamwita mmoja wa vijana, akamwambia, Mwendee, ukamwangukie. Basi akampiga hata akafa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha, Daudi akamwita mmoja wa vijana wake akamwambia, “Muue mtu huyu!” Yule kijana alimpiga yule Mmaleki, naye akafa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha Daudi akamwita mmoja wa watu wake na kumwambia, “Nenda ukamwue!” Kwa hiyo akampiga, naye akafa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha Daudi akamwita mmoja wa watu wake na kumwambia, “Nenda ukamuue!” Kwa hiyo akampiga, naye akafa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo Daudi akamwita mmoja wa vijana, akamwambia, Mwendee, ukamwangukie. Basi akampiga hadi akafa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha, Daudi akamwita mmoja wa vijana wake akamwambia, “Muue mtu huyu!” Yule kijana alimpiga yule Mmaleki, naye akafa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Dawidi alipomwita mmoja wao vijana, akamwambia: Njoo, umpige! Naye alipompiga, akafa;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo Daudi akamwita mmoja wa vijana, akamwambia, Mwendee, ukamwangukie. Basi akampiga hata akafa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha, Daudi akamwita mumoja kati ya vijana wake akamwambia: “Umwue mutu huyu!” Yule kijana alimupiga yule Mwamaleki, naye akakufa.