2 Samuel 1:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Shauli na Yonathani, watu wa ajabu na wakupendeza. Maishani na kifoni hawakutengana. Walikuwa wepesi kuliko tai, naam, wenye nguvu kuliko simba.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sauli na Yonathani: maishani walipendwa na kuneemeka, na katika kifo hawakutengana. Walikuwa wepesi kuliko tai, walikuwa na nguvu kuliko simba.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sauli na Yonathani walipendwa na kupendeza Maishani wala mautini hawakutengwa; Walikuwa wepesi kuliko tai, Walikuwa hodari kuliko simba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Shauli na Yonathani, watu wa ajabu na wakupendeza. Maishani na kifoni hawakutengana. Walikuwa wepesi kuliko tai, naam, wenye nguvu kuliko simba.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Sauli na Yonathani, maishani walipendwa na kuneemeka, na katika kifo hawakutengana. Walikuwa wepesi kuliko tai, walikuwa na nguvu kuliko simba.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Sauli na Yonathani, maishani walipendwa na kuneemeka, na katika kifo hawakutengana. Walikuwa wepesi kuliko tai, walikuwa na nguvu kuliko simba.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sauli na Yonathani walipendwa na kupendeza Maishani wala mautini hawakutengwa; Walikuwa wepesi kuliko tai, Walikuwa hodari kuliko simba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Shauli na Yonathani, watu wa ajabu na wakupendeza. Maishani na kifoni hawakutengana. Walikuwa wepesi kuliko tai, naam, wenye nguvu kuliko simba.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sauli na Yonatani walipatana kwa kupendana mioyoni, hawakutengeka walipoishi, wala walipokufa. Walikuwa wepesi kuliko kozi, walikuwa wenye nguvu kuliko simba.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sauli na Yonathani walipendwa na kupendeza Maishani wala mautini hawakutengwa; Walikuwa wepesi kuliko tai, Walikuwa hodari kuliko simba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Saulo na Yonatani, watu wema na wa kupendeza. Katika maisha na kifo hawakutengana. Walikuwa wepesi kuliko tai, wenye nguvu kuliko simba.