2 Samuel 1:27 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Jinsi gani mashujaa wameanguka, na silaha zao zimeachwa, hazina kazi.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka! Silaha za vita zimeangamia!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Jinsi mashujaa walivyoanguka, Na silaha za vita zilivyoangamia!
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Jinsi gani mashujaa wameanguka, na silaha zao zimeachwa, hazina kazi.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka! Silaha za vita zimeangamia!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka! Silaha za vita zimeangamia!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Jinsi mashujaa walivyoanguka, Na silaha za vita zilivyoangamia!
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Jinsi gani mashujaa wameanguka, na silaha zao zimeachwa, hazina kazi.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Imekuwaje, wakiangushwa hao mafundi wa vita? hayo mata makali ya kupigia vita yakiangamia hivyo?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Jinsi mashujaa walivyoanguka, Na silaha za vita zilivyoangamia!
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Jinsi gani mashujaa walivyoanguka, na silaha za vita zimeangamia.