2 Samuel 1:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shauli alipotazama nyuma, aliniona, akaniita. Nilipoitika,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alipogeuka na kuniona, akaniita, nami nikasema, ‘Je, nifanye nini?’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye alipotazama nyuma, akaniona, akaniita. Nikajibu, Mimi hapa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shauli alipotazama nyuma, aliniona, akaniita. Nilipoitika,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alipogeuka na kuniona, akaniita, nami nikasema, ‘Je, nifanye nini?’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alipogeuka na kuniona, akaniita, nami nikasema, ‘Je, nifanye nini?’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye alipotazama nyuma, akaniona, akaniita. Nikajibu, Mimi hapa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shauli alipotazama nyuma, aliniona, akaniita. Nilipoitika,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipogeuka nyuma, akaniona, akaniita; nami nikamwitikia kwamba: Nipo hapa!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye alipotazama nyuma, akaniona, akaniita. Nikajibu, Mimi hapa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Saulo alipoangalia nyuma, aliniona, akaniita. Nilipoitika,