2 Samuel 11:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yoabu akamwamuru huyo mtumishi aliyemtuma hivi, “Baada ya kumweleza mfalme mambo yote kuhusu vita,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akamwagiza mjumbe hivi, “Utakapokuwa umemaliza kumpa mfalme maelezo ya vita,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
akamwagiza yule mjumbe, akisema, Ukiisha kumpa mfalme habari zote za vita,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yoabu akamwamuru huyo mtumishi aliyemtuma hivi, “Baada ya kumweleza mfalme mambo yote kuhusu vita,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akamwagiza mjumbe hivi, “Utakapokuwa umemaliza kumpa mfalme maelezo ya vita,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akamwagiza mjumbe hivi, “Utakapokuwa umemaliza kumpa mfalme maelezo ya vita,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akamwagiza yule mjumbe, akisema, Ukiisha kumpa mfalme habari zote za vita,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yoabu akamwamuru huyo mtumishi aliyemtuma hivi, “Baada ya kumweleza mfalme mambo yote kuhusu vita,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akamwagiza yule mjumbe kwamba: Utakapokwisha kumwambia mfalme habari zote za vita,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
akamwagiza yule mjumbe, akisema, Ukiisha kumpa mfalme habari zote za vita,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yoabu akamwamuru huyo mutumishi aliyemutuma hivi: “Kisha kumwelezea mufalme mambo yote juu ya vita,