2 Samuel 11:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
akikasirika na kukuuliza, ‘Kwa nini mlikwenda karibu na mji mlipokuwa mnapigana? Hamkujua kwamba wangewapiga mishale kutoka kwenye kuta za mji wao?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
hasira ya mfalme yaweza kuwaka, naye aweza kukuuliza, ‘Kwa nini mlisogea karibu hivyo na mji kupigana? Hamkujua kuwa wangeweza kuwapiga mishale kutoka ukutani?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
itakuwa, hasira ya mfalme ikiwaka, akakuambia, Kwani mliukaribia mji namna ile ili kuupiga? Je! Hamkujua ya kuwa watapiga mishale toka ukutani?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
akikasirika na kukuuliza, ‘Kwa nini mlikwenda karibu na mji mlipokuwa mnapigana? Hamkujua kwamba wangewapiga mishale kutoka kwenye kuta za mji wao?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
hasira ya mfalme yaweza kuwaka, naye aweza kukuuliza, ‘Kwa nini mlisogea karibu hivyo na mji kupigana? Hamkujua kuwa wangeweza kuwapiga mishale kutoka ukutani?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
hasira ya mfalme yaweza kuwaka, naye aweza kukuuliza, ‘Kwa nini mlisogea karibu hivyo na mji kupigana? Hamkujua kuwa wangeweza kuwapiga mishale kutoka ukutani?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kisha, ikiwa hasira ya mfalme itawaka, akakuambia, Kwa nini mliukaribia mji namna ile ili kuupiga? Je! Hamkujua ya kuwa watapiga mishale toka ukutani?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
akikasirika na kukuuliza, ‘Kwa nini mlikwenda karibu na mji mlipokuwa mnapigana? Hamkujua kwamba wangewapiga mishale kutoka kwenye kuta za mji wao?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
labda machafuko yatampata mfalme, akuulize: Mbona mmeukaribia huo mji kupigana nao? Hamkujua, ya kuwa watapiga mishale toka juu ukutani?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
itakuwa, hasira ya mfalme ikiwaka, akakuambia, Kwani mliukaribia mji namna ile ili kuupiga? Je! Hamkujua ya kuwa watapiga mishale toka ukutani?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
naye akikasirika na kukuuliza: ‘Kwa nini mulikwenda karibu na muji mulipokuwa munapigana? Hamukujua kwamba wangewapiga mishale kutoka kwenye kuta za muji wao?