2 Samuel 11:26 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bathsheba mke wa Uria aliposikia kwamba mumewe Uria amekufa, alimwombolezea mumewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mke wa Uria aliposikia kwamba mumewe amekufa, akamwombolezea.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na yule mke wa Uria alipopata habari ya kuwa Uria mumewe amekufa, akamwombolezea mumewe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bathsheba mke wa Uria aliposikia kwamba mumewe Uria amekufa, alimwombolezea mumewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mke wa Uria aliposikia kwamba mumewe amekufa, akamwombolezea.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mke wa Uria aliposikia kwamba mumewe amekufa, akamwombolezea.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na yule mke wa Uria alipopata habari ya kuwa Uria mumewe amekufa, akamwombolezea mumewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bathsheba mke wa Uria aliposikia kwamba mumewe Uria amekufa, alimwombolezea mumewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mkewe Uria aliposikia, ya kuwa mumewe Uria amekufa, akamwombolezea bwana wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na yule mke wa Uria alipopata habari ya kuwa Uria mumewe amekufa, akamwombolezea mumewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Batiseba muke wa Uria aliposikia kwamba mume wake Uria amekufa, akafanya kilio kwa ajili yake.