2 Samuel 13:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akamwita kijana wake aliyemtumikia, akamwambia, “Mtoe mwanamke huyu mbele yangu. Na mlango uufunge kwa komeo.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akamwita mtumishi wake mahsusi na kumwambia, “Mtoe huyu mwanamke hapa na ufunge mlango nyuma yake.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo akamwita mtumishi wake aliyemtumikia, akasema, Mtoe sasa mwanamke huyu kwangu, ukafunge mlango nyuma yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akamwita kijana wake aliyemtumikia, akamwambia, “Mtoe mwanamke huyu mbele yangu. Na mlango uufunge kwa komeo.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akamwita mtumishi wake mahsusi na kumwambia, “Mtoe huyu mwanamke hapa na ufunge mlango nyuma yake.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akamwita mtumishi wake mahsusi na kumwambia, “Mtoe huyu mwanamke hapa na ufunge mlango nyuma yake.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo akamwita mtumishi wake aliyemtumikia, akasema, Mtoe sasa mwanamke huyu kwangu, ukafunge mlango nyuma yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akamwita kijana wake aliyemtumikia, akamwambia, “Mtoe mwanamke huyu mbele yangu. Na mlango uufunge kwa komeo.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akamwita kijana aliyemtumikia, akamwambia: Mtoeni huyu humu mwangu, aende nje! Tena funga mlango, akiisha kutoka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo akamwita mtumishi wake aliyemtumikia, akasema, Mtoe sasa mwanamke huyu kwangu, ukafunge mlango nyuma yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akamwita kijana wake aliyemutumikia, akamwambia: “Umutoshe mwanamuke huyu mbele yangu. Na ufunge mulango kwa kifungio.”