2 Samuel 13:21 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme Daudi aliposikia jambo hilo alikasirika sana.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfalme Daudi aliposikia mambo haya yote, akakasirika sana.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na mfalme Daudi alipoyasikia maneno hayo yote, alikasirika sana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme Daudi aliposikia jambo hilo alikasirika sana.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mfalme Daudi aliposikia mambo haya yote, akakasirika sana.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mfalme Daudi aliposikia mambo haya yote, akakasirika sana.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na mfalme Daudi alipoyasikia maneno hayo yote, alikasirika sana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme Daudi aliposikia jambo hilo alikasirika sana.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfalme Dawidi alipoyasikia mambo haya, akachafuka sana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na mfalme Daudi alipoyasikia maneno hayo yote, alikasirika sana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme Daudi aliposikia jambo hilo alikasirika sana.